Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo tetemeko+ likatokea katika kambi iliyo shambani na katikati ya watu wote wa kile kituo cha mbele; na hata lile jeshi la waporaji+ likatetemeka, na dunia ikaanza kutetemeka,+ nalo likawa ni tetemeko kutoka kwa Mungu.+

  • Ayubu 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yeye anaiondoa dunia ikiwa inatetemeka kutoka mahali pake,

      Hivi kwamba nguzo+ zake zinatetemeka.

  • Zaburi 82:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hawajajua, wala hawaelewi;+

      Wanaendelea kutembea huku na huku katika giza;+

      Misingi yote ya dunia inatikiswa.+

  • Ezekieli 38:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na katika ukali wangu,+ katika moto wa ghadhabu yangu, nitalazimika kusema.+ Kwa kweli katika siku hiyo tetemeko kubwa litatukia katika nchi ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki