15 Ndipo tetemeko+ likatokea katika kambi iliyo shambani na katikati ya watu wote wa kile kituo cha mbele; na hata lile jeshi la waporaji+ likatetemeka, na dunia ikaanza kutetemeka,+ nalo likawa ni tetemeko kutoka kwa Mungu.+
19 Na katika ukali wangu,+ katika moto wa ghadhabu yangu, nitalazimika kusema.+ Kwa kweli katika siku hiyo tetemeko kubwa litatukia katika nchi ya Israeli.+