Methali 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+ 1 Yohana 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini yeye anayemchukia ndugu yake yumo katika giza+ na anatembea katika giza, naye hajui anakoenda,+ kwa sababu giza limeyapofusha macho yake.
11 Lakini yeye anayemchukia ndugu yake yumo katika giza+ na anatembea katika giza, naye hajui anakoenda,+ kwa sababu giza limeyapofusha macho yake.