Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wao hupapasa gizani,+ pasipo na nuru,

      Ili aweze kuwafanya watange-tange kama mlevi.+

  • Isaya 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye atakuwa kama mahali patakatifu;+ lakini kama jiwe la kujigonga juu yake na kama mwamba wa kujikwaa+ juu yake kwa nyumba zote mbili za Israeli, kama mtego na kama mnaso kwa wakaaji wa Yerusalemu.+

  • Mathayo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki