Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+

  • Isaya 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+

  • Mathayo 13:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+ Lakini Yesu akawaambia: “Nabii hakosi kuheshimiwa ila katika eneo lake la nyumbani na katika nyumba yake mwenyewe.”+

  • Luka 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kila mtu anayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa-vunjwa.+ Na yeyote ambaye litamwangukia,+ litamponda-ponda.”+

  • Waroma 9:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa sababu gani? Kwa sababu aliifuatilia, si kwa imani, bali kama kwa matendo.+ Walijikwaa juu ya “jiwe la kukwaza”;+

  • Waroma 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha,+ lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+

  • 1 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki