Zaburi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utawavunja kwa fimbo ya chuma ya enzi,+Utawavunja vipande-vipande, kama chombo cha mfinyanzi.”+ Isaya 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye atakuwa kama mahali patakatifu;+ lakini kama jiwe la kujigonga juu yake na kama mwamba wa kujikwaa+ juu yake kwa nyumba zote mbili za Israeli, kama mtego na kama mnaso kwa wakaaji wa Yerusalemu.+ Mathayo 21:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Pia, mtu atakayeangukia jiwe hilo atavunjika-vunjika. Na yeyote ambaye litamwangukia, litamponda-ponda.”+
14 Naye atakuwa kama mahali patakatifu;+ lakini kama jiwe la kujigonga juu yake na kama mwamba wa kujikwaa+ juu yake kwa nyumba zote mbili za Israeli, kama mtego na kama mnaso kwa wakaaji wa Yerusalemu.+
44 Pia, mtu atakayeangukia jiwe hilo atavunjika-vunjika. Na yeyote ambaye litamwangukia, litamponda-ponda.”+