Mathayo 21:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ ndilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Limetokana na Yehova, nalo ni la kustaajabisha machoni petu’? Marko 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, hamkusoma kamwe andiko hili, ‘Jiwe+ ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Luka 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini akawatazama na kusema: “Basi, hili ambalo limeandikwa humaanisha nini, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa,+ limekuwa jiwe kuu la pembeni’?+ Matendo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba si la maana ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’+
42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ ndilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Limetokana na Yehova, nalo ni la kustaajabisha machoni petu’?
10 Je, hamkusoma kamwe andiko hili, ‘Jiwe+ ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni.+
17 Lakini akawatazama na kusema: “Basi, hili ambalo limeandikwa humaanisha nini, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa,+ limekuwa jiwe kuu la pembeni’?+
11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba si la maana ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’+