Zaburi 118:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+Limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ 1 Petro 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu ninyi, kwa kuwa ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe lilelile ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni,”+
7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu ninyi, kwa kuwa ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe lilelile ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni,”+