Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+

  • Zekaria 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wewe ni nani, Ee mlima mkubwa?+ Utakuwa nchi tambarare mbele ya Zerubabeli.+ Naye ataleta jiwe la juu kabisa.+ Nalo litapaaziwa sauti:+ “Linavutia kama nini! Linavutia kama nini!” ’ ”+

  • Luka 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini akawatazama na kusema: “Basi, hili ambalo limeandikwa humaanisha nini, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa,+ limekuwa jiwe kuu la pembeni’?+

  • Matendo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba si la maana ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’+

  • 1 Wakorintho 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hakuna mtu anayeweza kuweka msingi+ mwingine wowote kuliko ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+

  • Waefeso 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+

  • 1 Petro 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki