Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+

      Limekuwa jiwe kuu la pembeni.+

  • Isaya 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+

  • Mathayo 21:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ ndilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Limetokana na Yehova, nalo ni la kustaajabisha machoni petu’?

  • 1 Petro 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu ninyi, kwa kuwa ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe lilelile ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni,”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki