Isaya 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+ Marko 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, hamkusoma kamwe andiko hili, ‘Jiwe+ ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Luka 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini akawatazama na kusema: “Basi, hili ambalo limeandikwa humaanisha nini, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa,+ limekuwa jiwe kuu la pembeni’?+ Matendo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba si la maana ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’+ Waroma 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha,+ lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+ Waefeso 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+
16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+
10 Je, hamkusoma kamwe andiko hili, ‘Jiwe+ ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni.+
17 Lakini akawatazama na kusema: “Basi, hili ambalo limeandikwa humaanisha nini, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa,+ limekuwa jiwe kuu la pembeni’?+
11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba si la maana ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’+
33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha,+ lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+
20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+