42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ ndilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Limetokana na Yehova, nalo ni la kustaajabisha machoni petu’?
7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu ninyi, kwa kuwa ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe lilelile ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni,”+