4 Kila bonde na liinuliwe,+ na kila mlima na kilima kishushwe.+ Na nchi yenye matuta itakuwa nchi tambarare, na nchi yenye mawemawe itakuwa nchi tambarare ya bondeni.+
21 Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Ikiwa tu mna imani nanyi msitie shaka,+ hamtafanya nililofanya kwa mtini huo tu, bali pia mkiuambia mlima huu, ‘Ondoka, ukatupwe baharini,’ jambo hilo litatukia.+