Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 17:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Akawaambia: “Ni kwa sababu ya imani yenu kidogo, kwa maana kwa kweli ninawaambia, Mkiwa na imani inayotoshana na mbegu ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka, na hakuna jambo litakalowashinda.”+

  • Luka 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali, mngeuambia mforsadi huu mweusi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii ninyi.+

  • 1 Wakorintho 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii+ nami nazijua siri takatifu+ zote na ujuzi+ wote, na ikiwa nina imani yote kuweza kuhamisha milima,+ lakini sina upendo, mimi si kitu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki