20 Akawaambia: “Ni kwa sababu ya imani yenu kidogo, kwa maana kwa kweli ninawaambia, Mkiwa na imani inayotoshana na mbegu ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka, na hakuna jambo litakalowashinda.”+
6 Ndipo Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali, mngeuambia mforsadi huu mweusi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii ninyi.+
2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii+ nami nazijua siri takatifu+ zote na ujuzi+ wote, na ikiwa nina imani yote kuweza kuhamisha milima,+ lakini sina upendo, mimi si kitu.+