20 Akawaambia: “Ni kwa sababu ya imani yenu kidogo, kwa maana kwa kweli ninawaambia, Mkiwa na imani inayotoshana na mbegu ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka, na hakuna jambo litakalowashinda.”+
21 Yesu akajibu, akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Ikiwa tu mna imani nanyi msitie shaka,+ hamtafanya nililofanya kwa mtini huo tu, bali pia mkiuambia mlima huu, ‘Ondoka, ukatupwe baharini,’ jambo hilo litatukia.+
23 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mtu yeyote anayeuambia mlima huu, ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’ naye hana shaka moyoni mwake lakini ana imani kwamba yale anayosema yatatukia, itakuwa hivyo kwake.+