Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini ikiwa yeyote anatembea usiku,+ yeye hugonga kitu fulani, kwa sababu nuru haimo ndani yake.”

  • 2 Petro 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana ikiwa mambo hayo hayapo ndani ya yeyote, yeye ni kipofu, akifunga macho yake yasione nuru,+ naye amesahau+ kutakaswa+ kwake kutoka katika dhambi zake za zamani za kale.

  • 1 Yohana 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote akisema: “Mimi nampenda Mungu,” na bado anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo.+ Kwa maana yeye ambaye hampendi ndugu yake,+ ambaye amemwona, hawezi kuwa anampenda Mungu, ambaye hajamwona.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki