20 Ole wao wanaosema kwamba wema ni ubaya na ubaya ni wema,+ wale wanaoweka giza badala ya nuru na nuru badala ya giza, wale wanaoweka uchungu badala ya utamu na utamu badala ya uchungu!+
35 Kwa hiyo Yesu akawaambia: “Nuru itakuwa kati yenu kwa muda kidogo zaidi. Tembeeni wakati mna nuru, ili giza+ lisiwazidi nguvu; na yule ambaye hutembea katika giza hajui anakoenda.+