Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+ Malaki 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Ninyi mmemchosha Yehova kwa maneno yenu,+ nanyi mmesema, ‘Tumemchosha kwa njia gani?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayefanya mabaya ni mwema machoni pa Yehova, naye amependezwa na watu wa aina hiyo’;+ au, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’ ”+
15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+
17 “Ninyi mmemchosha Yehova kwa maneno yenu,+ nanyi mmesema, ‘Tumemchosha kwa njia gani?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayefanya mabaya ni mwema machoni pa Yehova, naye amependezwa na watu wa aina hiyo’;+ au, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’ ”+