18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
26 Kwa ghafula tetemeko kubwa la nchi likatukia, hivi kwamba misingi ya jela ikatikiswa. Zaidi ya hayo, milango yote ikafunguka mara moja, na vifungo vya wote vikafunguka.+