Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+

  • Nahumu 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+

      Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+

  • Mathayo 27:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Na, tazama! pazia+ la patakatifu likapasuka vipande viwili, kutoka juu mpaka chini,+ na dunia ikatetemeka, na miamba ikapasuka.+

  • Matendo 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa ghafula tetemeko kubwa la nchi likatukia, hivi kwamba misingi ya jela ikatikiswa. Zaidi ya hayo, milango yote ikafunguka mara moja, na vifungo vya wote vikafunguka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki