2 Samweli 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nayo dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka;+Misingi ya mbingu ikasukasuka,+Nayo ikatikisika-tikisika kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+ Zaburi 68:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dunia ilitikisika,+Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+ Zaburi 97:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Milima ilianza kuyeyuka kama nta kwa sababu ya Yehova,+Kwa sababu ya Bwana wa dunia nzima.+ Waebrania 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+
8 Nayo dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka;+Misingi ya mbingu ikasukasuka,+Nayo ikatikisika-tikisika kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
8 Dunia ilitikisika,+Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+
26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+