Waamuzi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Milima ikayeyuka kutoka mbele za uso wa Yehova,+Mlima Sinai+ kutoka mbele za uso wa Yehova,+ Mungu wa Israeli.+ Mika 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na milima itayeyuka chini yake,+ na nchi tambarare za chini zitapasuka, kama nta kwa sababu ya moto,+ kama maji yanayomwagwa kwenye mteremko mkali. Nahumu 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+ Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+ Habakuki 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+ Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.
5 Milima ikayeyuka kutoka mbele za uso wa Yehova,+Mlima Sinai+ kutoka mbele za uso wa Yehova,+ Mungu wa Israeli.+
4 Na milima itayeyuka chini yake,+ na nchi tambarare za chini zitapasuka, kama nta kwa sababu ya moto,+ kama maji yanayomwagwa kwenye mteremko mkali.
5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+ Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+
6 Alisimama tuli, apate kuitikisa dunia.+ Aliona, kisha akayarusha mataifa.+ Na milima ya milele ikavunjwa;+ vilima vinavyodumu kwa wakati usio na kipimo vikainama.+ Miendo ya zamani za kale ni yake.