18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
24 Ndipo mkasema, ‘Tazama, Yehova Mungu wetu ametuonyesha utukufu wake na ukuu wake, nasi tumeisikia sauti yake kutoka katikati ya moto.+ Leo tumeona kwamba Mungu anaweza kusema na mwanadamu naye aendelee kuishi.+