-
1 Wafalme 19:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Lakini likasema: “Toka, usimame juu ya mlima mbele za Yehova.”+ Na tazama! Yehova alikuwa anapita karibu,+ na upepo mkubwa na wenye nguvu ukawa unapasua milima na kuvunja miamba mbele za Yehova.+ (Yehova hakuwa katika upepo ule.) Na baada ya upepo ule kukawa na tetemeko.+ (Yehova hakuwa katika lile tetemeko.)
-