Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Naye Yehova akaanza kumjibu Ayubu kutoka katika dhoruba ya upepo,+ akasema:

  • Zaburi 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+

      Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+

      Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+

  • Isaya 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtakaziwa fikira kutoka kwa Yehova wa majeshi kwa mngurumo na kwa tetemeko na kwa sauti kubwa, upepo wa dhoruba na tufani, na mwali wa moto unaoteketeza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki