Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na katika siku ya tatu kulipokuwa asubuhi, mingurumo na umeme zikaanza kutokea,+ na wingu zito+ juu ya mlima na sauti kubwa sana ya pembe,+ hivi kwamba watu wote waliokuwa kambini wakaanza kutetemeka.+

  • 1 Wafalme 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini likasema: “Toka, usimame juu ya mlima mbele za Yehova.”+ Na tazama! Yehova alikuwa anapita karibu,+ na upepo mkubwa na wenye nguvu ukawa unapasua milima na kuvunja miamba mbele za Yehova.+ (Yehova hakuwa katika upepo ule.) Na baada ya upepo ule kukawa na tetemeko.+ (Yehova hakuwa katika lile tetemeko.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki