Kumbukumbu la Torati 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa hiyo mkaja karibu na kusimama chini ya mlima, nao mlima ulikuwa ukiwaka moto mpaka katikati ya mbingu; kulikuwa na giza, wingu na weusi mzito.+ 1 Wafalme 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakati ule Sulemani akasema: “Yehova mwenyewe alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+
11 “Kwa hiyo mkaja karibu na kusimama chini ya mlima, nao mlima ulikuwa ukiwaka moto mpaka katikati ya mbingu; kulikuwa na giza, wingu na weusi mzito.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+