18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
23 “Na ikawa kwamba mara tu mlipoisikia sauti kutoka katikati ya lile giza, mlima ulipokuwa ukiwaka moto,+ ninyi mlikuja karibu nami, vichwa vyote vya makabila yenu na wanaume wenu wazee.