Kutoka 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na watu wakaendelea kusimama mbali, bali Musa akaenda karibu na lile wingu kubwa jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+ Kumbukumbu la Torati 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+ Zaburi 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+
21 Na watu wakaendelea kusimama mbali, bali Musa akaenda karibu na lile wingu kubwa jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+
22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+
11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+