Kutoka 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na watu wakaendelea kusimama mbali, bali Musa akaenda karibu na lile wingu kubwa jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+ 1 Wafalme 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakati ule Sulemani akasema: “Yehova mwenyewe alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ Zaburi 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+
21 Na watu wakaendelea kusimama mbali, bali Musa akaenda karibu na lile wingu kubwa jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+
11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+