1 Samweli 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo tetemeko+ likatokea katika kambi iliyo shambani na katikati ya watu wote wa kile kituo cha mbele; na hata lile jeshi la waporaji+ likatetemeka, na dunia ikaanza kutetemeka,+ nalo likawa ni tetemeko kutoka kwa Mungu.+ Ayubu 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye anaiondoa dunia ikiwa inatetemeka kutoka mahali pake,Hivi kwamba nguzo+ zake zinatetemeka. Zaburi 68:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dunia ilitikisika,+Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+ Nahumu 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+ Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+
15 Ndipo tetemeko+ likatokea katika kambi iliyo shambani na katikati ya watu wote wa kile kituo cha mbele; na hata lile jeshi la waporaji+ likatetemeka, na dunia ikaanza kutetemeka,+ nalo likawa ni tetemeko kutoka kwa Mungu.+
8 Dunia ilitikisika,+Nayo mbingu pia ikadondoka maji kwa sababu ya Mungu;+Mlima huu Sinai ukatikisika kwa sababu ya Mungu,+ Mungu wa Israeli.+
5 Milima imetikisika kwa sababu yake, vilima navyo vikayeyuka.+ Dunia nayo itainuka kwa sababu ya uso wake; nchi yenye kuzaa pia, na wote wanaokaa ndani yake.+