Zaburi 83:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 83 Ee Mungu, usinyamaze;+Usikae bila kusema, wala kukaa kimya, Ee Mungu.+ Isaya 42:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+ Isaya 65:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Tazama! Imeandikwa mbele zangu.+ Sitakaa kimya,+ lakini nitatoa thawabu;+ nitatoa thawabu vifuani mwao,+
13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+
6 “Tazama! Imeandikwa mbele zangu.+ Sitakaa kimya,+ lakini nitatoa thawabu;+ nitatoa thawabu vifuani mwao,+