Kutoka 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+ Nahumu 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+