10 Watatembea kwa kumfuata Yehova.+ Atanguruma kama simba;+ kwa maana yeye mwenyewe atanguruma,+ na wana watakuja wakitetemeka kutoka upande wa magharibi.+
16 Na kutoka Sayuni Yehova atanguruma, kutoka Yerusalemu atatoa sauti yake.+ Na mbingu na dunia zitatikisika;+ bali Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+ na ngome kwa wana wa Israeli.+