Zaburi 50:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+ Isaya 43:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia, wakati wote mimi ni Yeye yuleyule;+ na hakuna yeyote anayekomboa kutoka katika mkono wangu.+ Nitatenda,+ na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?”+ Yeremia 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Je, nisitoze hesabu kwa sababu ya mambo haya?” asema Yehova.+ “Au, je, nafsi yangu isijilipizie kisasi juu ya taifa ambalo liko hivyo?”+
3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+
13 Pia, wakati wote mimi ni Yeye yuleyule;+ na hakuna yeyote anayekomboa kutoka katika mkono wangu.+ Nitatenda,+ na ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?”+
9 “Je, nisitoze hesabu kwa sababu ya mambo haya?” asema Yehova.+ “Au, je, nafsi yangu isijilipizie kisasi juu ya taifa ambalo liko hivyo?”+