25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+
22 Mwishowe Yehova hakuweza kuvumilia kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu, kwa sababu ya machukizo ambayo mlikuwa mmefanya,+ na hivyo nchi yenu ikawa mahali palipoharibiwa na kitu cha kushangaza na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo hii.+
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+