Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na nyumba hii itakuwa marundo ya mabomoko.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao+ naye atapiga mluzi na kusema, ‘Kwa sababu gani Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+

  • Zaburi 107:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nchi yenye kuzaa iwe nchi ya chumvi,+

      Kwa sababu ya ubaya wa wale wanaokaa humo.

  • Yeremia 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”’+

  • Maombolezo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wote wanaopita barabarani wamekupigia makofi.+

      Wamepiga mluzi+ wa mshangao na kuendelea kutikisa vichwa+ vyao kwa sababu ya binti Yerusalemu, wakisema:

      “Je, hili ndilo lile jiji ambalo walikuwa wakisema hivi kwa habari zake, ‘Hili ndilo ukamilifu wa uzuri, furaha ya dunia yote’?”+

  • Ezekieli 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘ “Lakini kwa wale ambao moyo wao unatembea katika machukizo yao na vinyaa vyao,+ hakika nitaleta njia yao wenyewe juu ya vichwa vyao,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”+

  • Ezekieli 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, kwa sababu ya machukizo yote ambayo wamefanya.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki