9 na wana wa Israeli wakatafuta mambo ambayo hayakuwa sawa kumwelekea Yehova Mungu wao,+ wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ katika majiji yao yote, kuanzia mnara+ wa walinzi mpaka jiji lenye ngome;
14 Hata wakuu wote wa makuhani+ na watu wenyewe wakatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa kiasi kikubwa, kulingana na machukizo+ yote ya mataifa, hivi kwamba wakaitia unajisi nyumba ya Yehova aliyokuwa ameitakasa katika Yerusalemu.+