2 Wafalme 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Uriya+ kuhani akaanza kujenga madhabahu.+ Uriya kuhani akaijenga kulingana na yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ametuma kutoka Damasko, akingojea wakati ambapo Mfalme Ahazi angekuja kutoka Damasko.
11 Na Uriya+ kuhani akaanza kujenga madhabahu.+ Uriya kuhani akaijenga kulingana na yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ametuma kutoka Damasko, akingojea wakati ambapo Mfalme Ahazi angekuja kutoka Damasko.