6 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ulipiga makofi+ na kupiga vishindo kwa miguu, nawe uliendelea kushangilia kwa dhihaka zote ulizokuwa nazo katika nafsi yako juu ya nchi ya Israeli,+
19 Hakuna kitulizo cha msiba wako. Pigo lako haliponyeki.+ Wote wanaosikia habari juu yako wewe watakupigia makofi;+ kwa sababu ni nani ambaye ubaya wako haukupita daima juu yake?”+