Yeremia 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Panda mpaka Gileadi uchukue zeri,+ Ee bikira, binti ya Misri.+ Umezidisha njia za kuponya bure tu. Hakuna matibabu kwa ajili yako.+ Ezekieli 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”
11 “Panda mpaka Gileadi uchukue zeri,+ Ee bikira, binti ya Misri.+ Umezidisha njia za kuponya bure tu. Hakuna matibabu kwa ajili yako.+
21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”