Mwanzo 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri. Yeremia 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, hakuna zeri katika Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji humo?+ Kwa nini, basi, kupona+ kwa binti ya watu wangu hakujatokea?+ Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”
25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri.
22 Je, hakuna zeri katika Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji humo?+ Kwa nini, basi, kupona+ kwa binti ya watu wangu hakujatokea?+
8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”