Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri.

  • Yeremia 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, hakuna zeri katika Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji humo?+ Kwa nini, basi, kupona+ kwa binti ya watu wangu hakujatokea?+

  • Yeremia 51:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa ghafula Babiloni ameanguka, hivi kwamba amevunjwa.+ Pigeni mayowe juu yake.+ Chukueni zeri kwa ajili ya maumivu yake.+ Huenda akapona.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki