Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na, tazama, sasa, linakuja gari la vita la watu, pamoja na jozi ya farasi wa vita!”+

      Naye akaanza kusema: “Ameanguka! Babiloni ameanguka,+ na sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+

  • Isaya 47:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini mambo haya mawili yatakujia wewe kwa ghafula,+ katika siku moja: kupoteza watoto na ujane. Yatakuja juu yako kwa kipimo chake kamili,+ kwa ajili ya wingi wa ulozi wako, kwa ajili ya nguvu kamili za maapizo yako—kwa kuzidi mno.+

  • 1 Wathesalonike 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+

  • Ufunuo 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki