9 Lakini mambo haya mawili yatakujia wewe kwa ghafula,+ katika siku moja: kupoteza watoto na ujane. Yatakuja juu yako kwa kipimo chake kamili,+ kwa ajili ya wingi wa ulozi wako, kwa ajili ya nguvu kamili za maapizo yako—kwa kuzidi mno.+
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+
2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+