2 “Lihubirini jambo hilo kati ya mataifa na mlitangaze.+ Na mwinue ishara;+ mlitangaze. Msifiche jambo lolote. Semeni, ‘Babiloni ametekwa.+ Beli ameona aibu.+ Merodaki ameingiwa na hofu. Sanamu zake zimeona aibu.+ Sanamu zake za mavi zimeingiwa na hofu.’