Yeremia 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndiyo, tangazeni jambo hilo, kwa mataifa. Lihubirini dhidi ya Yerusalemu.” “Walinzi wanakuja kutoka katika nchi ya mbali,+ nao wataipaaza sauti yao juu ya majiji ya Yuda. Yeremia 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lihubiri jambo hilo katika Misri, na mlitangaze kule Migdoli,+ na mlitangaze kule Nofu+ na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Simama, pia ujifanyie matayarisho,+ kwa maana hakika upanga utakula kukuzunguka pande zote.+
16 Ndiyo, tangazeni jambo hilo, kwa mataifa. Lihubirini dhidi ya Yerusalemu.” “Walinzi wanakuja kutoka katika nchi ya mbali,+ nao wataipaaza sauti yao juu ya majiji ya Yuda.
14 “Lihubiri jambo hilo katika Misri, na mlitangaze kule Migdoli,+ na mlitangaze kule Nofu+ na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Simama, pia ujifanyie matayarisho,+ kwa maana hakika upanga utakula kukuzunguka pande zote.+