Yeremia 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+ Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.
14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+ Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.