Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakiishi katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakiishi Migdoli,+ Tahpanhesi,+ Nofu,*+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:

  • Ezekieli 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi niko dhidi yako na dhidi ya mto wako Nile, nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa na palipokauka, mahame na ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Siene+ hadi kwenye mpaka wa Ethiopia.

  • Ezekieli 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova anasema hivi:

      ‘Wale wanaoiunga mkono Misri wataangamia pia,

      Na nguvu zake zenye kiburi zitashushwa.’+

      “‘Kuanzia Migdoli+ mpaka Siene+ watauawa kwa upanga nchini,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki