44Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakiishi katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakiishi Migdoli,+ Tahpanhesi,+ Nofu,*+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:
10 Basi niko dhidi yako na dhidi ya mto wako Nile, nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa na palipokauka, mahame na ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Siene+ hadi kwenye mpaka wa Ethiopia.