-
Ezekieli 30:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Yehova anasema hivi:
‘Wale wanaoiunga mkono Misri wataangamia pia,
Na nguvu zake zenye kiburi zitashushwa.’+
“‘Kuanzia Migdoli+ mpaka Siene+ watauawa kwa upanga nchini,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 7 ‘Watafanywa kuwa nchi yenye ukiwa zaidi, na majiji yake yatakuwa majiji yaliyoharibiwa kabisa.+
-