Ezekieli 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi niko dhidi yako na dhidi ya mto wako Nile, nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa na palipokauka, mahame na ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Siene+ hadi kwenye mpaka wa Ethiopia. Ezekieli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anasema hivi: ‘Wale wanaoiunga mkono Misri wataangamia pia, Na nguvu zake zenye kiburi zitashushwa.’+ “‘Kuanzia Migdoli+ mpaka Siene+ watauawa kwa upanga nchini,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
10 Basi niko dhidi yako na dhidi ya mto wako Nile, nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa na palipokauka, mahame na ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Siene+ hadi kwenye mpaka wa Ethiopia.
6 Yehova anasema hivi: ‘Wale wanaoiunga mkono Misri wataangamia pia, Na nguvu zake zenye kiburi zitashushwa.’+ “‘Kuanzia Migdoli+ mpaka Siene+ watauawa kwa upanga nchini,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.