Yeremia 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lihubiri jambo hilo katika Misri, na mlitangaze kule Migdoli,+ na mlitangaze kule Nofu+ na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Simama, pia ujifanyie matayarisho,+ kwa maana hakika upanga utakula kukuzunguka pande zote.+
14 “Lihubiri jambo hilo katika Misri, na mlitangaze kule Migdoli,+ na mlitangaze kule Nofu+ na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Simama, pia ujifanyie matayarisho,+ kwa maana hakika upanga utakula kukuzunguka pande zote.+