Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova ana upanga; nao utajazwa damu;+ utalainishwa kwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo dume na mbuzi-dume, kwa mafuta+ ya figo za kondoo-dume. Kwa maana Yehova ana dhabihu katika Bosra, na machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+

  • Yeremia 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+

  • Yeremia 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Waporaji wamekuja kwenye mapito yote yaliyokanyagwa sana. Kwa maana upanga wa Yehova unakula kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho ule mwingine wa nchi.+ Hakuna amani kwa yeyote mwenye mwili.

  • Yeremia 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na siku ile ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku yake ya kisasi ya kujilipizia kisasi juu ya adui zake.+ Na hakika upanga utakula na kushiba na kujijaza damu yao, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, ana dhabihu+ katika nchi ya kaskazini kando ya mto Efrati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki