Yeremia 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waangamizaji wamekuja kwenye vijia vyote vya nyikani vilivyokanyagwa sana,Kwa maana upanga wa Yehova unanyafua kuanzia mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho wa pili.+ Hakuna amani kwa yeyote.*
12 Waangamizaji wamekuja kwenye vijia vyote vya nyikani vilivyokanyagwa sana,Kwa maana upanga wa Yehova unanyafua kuanzia mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho wa pili.+ Hakuna amani kwa yeyote.*